Showing posts with label madalali wa nyumba. Show all posts
Showing posts with label madalali wa nyumba. Show all posts

Monday, January 11, 2016

Bomoa Bomoa na Biashara ya Madalali wa Nyumba

Mambo yanayogusa vichwa vya habari hivi karibu hapa Tanzania, ni hatua ya bomoa bomoa ya nyumba zilizojengwa mahali pasipo sitahili. Hatua hii inatekelezwa na Rais wa awamu ya tano Mh. Magufuli. 

Katika makala ya leo tunataka kuangalia ni jinsi gani hatua hii itawahusisha madali wa nyumba na jinsi gani tunaweza kuepuka kutapeliwa kupitia madali wa nyumba wasio waaminifu.

1. Ununuzi wa Viwanja
Mara nyingi watu wamekuwa wakiwatumia wadalali katika kununua viwanja vya ujenzi. Na kwa kuwa madalali wanapenda pesa za haraka haraka huwa hawafanyi uchunguzi kama kiwanja utakachouziwa kinafaa kwa ujenzi. Unaponunua kiwanja cha namna hiyo bila kuwasiliana na mamlaka husika kuhakiki kama kiwanja ni halali kwa ujenzi ndiopale uwezekano wa kubomolewa unakiuwa mkubwa.

2.
Nyumba za Kupanga
Kama ilivyokuwa kwa viwanja vya kujenga, pia nyumba za kuapanga zinakuwa na matatizo kama hayo. Unakuta dalali anakupeleka sehemu ya kupanga nyumba au chumba huku akijua kabisa nyumba unayotakiwa kupanga kuna mkondo wa maji na imeshawekewa alama ya X kwa ajili ya kuvunjwa. Kwa kuwa madalali ya nyumba wanataka fedha za haraka hakufahamishi madhara ya kupanga nyumba hiyo. Matokeo yake inapita bomoa bomoa wakati hujamaliza hata mwezi wa kodi yako. 

Ili kuepuka hali hii isikutokee wakati unapotafuta nyumba ya kupanga, kiwanja cha kujenga au godown n.k, unashauriwa kuwatumia watalaam wa kupangisha nyumba ambao ni waaminifu na pale tatizo linapotokea katik nyumba yako au kiwanja wako tayari kuja kutatua tatizo hilo.

Tafadhali wasiliana na HOT EMI PROPERTIES kwa mahitaji yako ya nyumba, kiwanja, fremu, godown n.k bila kuhofia bomoa bomoa inayoendelea kwa simu na 0655 500 707 au email emayage@gmail.com

Usisahau kuchangia maada hii hapo chini. 

Tuesday, September 8, 2015

Unahitaji Nyumba ya Kuishi Kibamba

Watu wengi wanahangaika kutafuta nyumba za kununua katika maeneo mbalimbali ya jiji. Wengi hutembelea vijiwe vya madalali ili kupata taarifa ya nyumba zinazouzwa.
Sh. 35,000,000

Mara nyingi madalali wa vijiweni huwahangaisha sana wateja kwa kuwa wanakuwa hawana uhakika na mahitaji ya mteji. Achana kutafuta nyumba za kununua au kupang akupitia kwa madalali kuepuka usumbufu.

Kwa huduma nzuri za kupata nyumba za kuishi Kibamba, Sinza, Mbezi na kwingineko, tafadhali wasiliana nasi.

Hapa tumekuonesha baadhi tu nyumba tulizonazo maeneo ya Kibamba na bei zake.

Sh 35,000,000
Sh. 25,000,000


Thursday, August 27, 2015

Sera za Rais Ajaye Zieleze Kuhusu Makazi ya Watu wa Kipato cha Chini

Tanzania iko katika kipindi cha kampeni kumchagua Rais mpya wa awamu ya tano. Katika waliojitokeza na kupitishwa na vyama vyao na kisha kuteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni Ndugu Edward Lowassa na Ndugu John Pombe Magufuli. 

Wagombea hawa wameanza kuhubiri sera zao kuhusu kuwaendeleza watanzania. Mambo yanayopewa kipaumbele ni kuondoa umasikini kwa wananchi. Nawaomba watanzania tuwahoji kuhusu ujenzi wa nyumba nafuu za watu wa kipato cha chini. Maana tukisema kuwa tukope benki tukakope nyumba zinazojengwa na taasisi mbalimbali kama NHC, Watumishi Housing, TBA na zingine binafsi, vipato vyetu haviruhusu kupata mikopo hiyo hivyo.

Ili kumaliza tatizo hilo, tuwahoji wagombea watatatuaji makazi duni ya maeneo ya manzese, Tandale, Tandika, na kwingineko ambapo watu wa kipato cha chini huishi kwa kuwajengea nyumba nzuri kwa bei nafuu.

Thursday, July 16, 2015

Everything A Real Estate Agent Doesn't Want You To Know, A Year In Review 2006

During 2006 I have written a number of articles known as the "Everything A Real Estate Agent Doesn't Want You To Know" series which has been a consumer oriented series of information to help home buyers and sellers protect themselves when conducting a real estate transaction. These articles are a natural extension of books I have written known as "Everything A Real Estate Agent Doesn't Want A Home Buyer To Know" and "Everything A Real Estate Agent Doesn't Want A Home Seller To Know".
The first book written during 1990 was called "Everything A Real Estate Agent Doesn't Want You To Know" and it had a fair degree of national success, much more than I thought it would, when I introduced it to the media during 1991/92. We sold the book in every state in the U.S. including Alaska, Hawaii and as far as Pakistan and Japan. This was not a bad performance for a self-published under-funded author.
I wrote this book because I was a licensed real estate agent in the state of Ohio and, more importantly, I was a residential mortgage banker for a few years and I saw many home buyers and sellers experience financial damage from dealing with inexperienced and unethical real estate agents. Many of the agents were either totally incompetent or so self interested that they would mislead buyers and sellers, anything to get them to sign a purchase offer or a listing contract. Many of these home buyers and sellers who were cut through the neck and didn't even realize they were bleeding because they lacked knowledge and insight into how the real estate game is played.
These books have always caused friction between real estate agents and myself because many agents resent the title of the books and the ill conceived premise that my position is that all agents are bad crooked people, which is false. In fact, whenever I did a media gig I always made it a point to clarify this is NOT a blanket indictment against real estate agents. There are good, honest, knowledgeable, full time real estate agents in the business who are highly professional. The problem is they are the minority and not the majority.
The major problem with the real estate industry as a whole is the ease with which a person can get a real estate license. While the educational requirements vary from state to state, in most cases, anybody can get a license to sell real estate in about 90 days. This just doesn't make sense to me. Consider that many agents are little old women who operate part-time, have no business or selling background, go to school for 30 or 90 days and are licensed to represent home sellers in property transactions from around $50,000.00 and up. I mean, a lawyer has to go to school for seven years to get a license to write a fifty-dollar will or represent somebody in a petty traffic accident. But silly-sally can go to school for 30 days and list a $250,000 house for sale? That does not compute in my mind. What kind of representation will a seller get from a part time agent with one toe in the tub? And the full-time pros know what I am talking about.
I have had many close discussions with agents while I was in the business and the bottom line is that part timers are often the weakest link in getting a deal done, unavailable for showings, etc. The bottom line, part time agents give part time results whether you are a buyer, seller or a full time agent trying to make a living.
And the truth is that most people, especially first time home buyers and sellers don't know what is going on...not really. How you select an agent to sell a home, the nature of contract law and the negotiable elements of listing contracts, purchase contracts, etc. is way beyond most first time buyers and sellers. The result is that sellers sign stupid long-term listing contracts with the wrong agents and the wrong companies and buyers pay way more for property then they would if they had more insight into the workings of real estate transactions involving commissioned real estate sales agents. I didn't originate the problem, I just identified the problems and the solutions for home buyers and sellers.
CAVEAT EMPTOR is legal jargon which means "buyer beware" and it means what it says. Whether you are a home seller or home buyer, you better know what you are doing when you are making decisions and signing contracts because, it is your duty to know and ignorance is no excuse under the law. If you do a stupid real estate deal, it's your fault. Which is a shame because buying or selling a home is a BIG business decision. It is a business transaction composed of people, emotions, contracts and cash and those are all the ingredients for legal and financial pain if you don't know what you are doing, and most people don't. And how are people supposed to get access to this information that will protect their legal and financial interests before they buy or sell a home anyway?
THE POWER OF THE NAR OVER GOVERNMENT AND MEDIA
What many people don't know is the National Association of Realtors  (NAR) is one of America's largest special interest groups who have incredible lobbying power over our politicians to write real estate laws that benefit the real estate industry, not consumers. Thus, the caveat emptor clause... state and federal real estate laws are written in the interests of your local real estate company and not you.
Something else people are not aware of is the tremendous advertising influence the NAR has over print and electronic media to manipulate the news you read, hear and see because of their advertising dollar power. There is an article written by Elizabeth Lesley of the Washington Journalism review called Demand Happy News And Often Get It and it exposes the corruption and manipulation of the news consumers count on to make decisions about buying or selling a home. I strongly urge everyone to read this article.
Real estate is like the stock market in some ways. When you hear of a fad like "flipping" you are probably at the tail end of that gimmick bubble, kind of like the dot.com days... everybody jumped in because they thought it was hot and it was really the end of the dot.com bubble. A lot of people have gotten caught with their pants down on the flipping angle.
Home foreclosures are up across the U.S. because real estate agents and the lenders who cater to them (the real estate industry has tremendous influence over the lending industry because the are the source of so many home loans) have qualified otherwise unqualified borrowers, by putting them in gimmick loans. In the mad dash to milk the market, people have been steered in to interest only loans, negative amortization loans or attractive teaser loans like low interest adjustable rate mortgage (ARM) and other stupid financing that is NOT in the best interest of the buyer. That's why many of the foreclosures are happening. Naïve and gullible people were sold a bill of goods based on unrealistic property values. The market got hyped and the agents and lenders were right there to exploit buyers and sellers. Did some people make money? Sure. But many people have found themselves against the wall with too much "house", too big a payment and a housing market that looks pretty bleak for a while...
All it takes is one ripple in our fragile economy to turn the real estate market into a landslide. Here's a news flash: The economy is on shaky ground. The economy has been kept strong by housing sales and corporate profits and both are an illusion. The real measure of the economy is durable goods, like automotive sales, which are in the tank causing massive restructuring and layoffs. People can't afford to buy cars because they are scraping the enamel off their teeth trying to make house payments...
So, whoever you are, and you read my real estate articles, keep in mind that the reason I have done what I have done, and will do what I do, is because I am on the side of the consumer. I am on the side of the person who wants to be a better, more informed consumer. I am on the side of the person who wants to save a few thousand on their real estate transaction by being smart and on a more level playing field with real estate agents.
And you know what? By educating people and teaching them how to do deals more intelligently, how to weed out the part timer agents from the pros and save a few bucks in the process, I am actually helping the professional full time agents. The truth is that honest agents won't have a problem with my position because it will get rid of the riff raff.
Thanks for reading!
Jim Hart

If you've a plumbing problem please visit Dar City Plumbers

Wednesday, July 11, 2012

Tips to Consider Before You Buy a Second Home

Investment in property is an intelligent matter of finance and ability. There are several factors one must consider before deciding on purchasing a property. With urban luxuries increasing, life style needs are making it necessary for a person to understand the importance of holidays and vacation. The second home or holiday also suits people who believe in property needs for the reason of security and investment. Finding a special holiday home is now quite easy as most of the outskirts of the nearby areas are now developing estates with the amenities of their own. Tips for purchasing a second home: 1. Consider your finance well. Find out the loans and immediate long term liabilities. 2. Pay all your taxes well and work out tax saving schemes like home loans. 3. Find out the list of expenses your foresee and other mandatory items like insurance, current home loan, medical expenses and child's education fees. 4. Inspect, find and evaluate the property. 5. Knowing amenities like water facility, power is very important. Access to markets for a living is also vital. 6. Look for resale value in the property. Thinking forward is very important. 7. Understanding the cost attached to home decorating accessories must be worked out well. 8. Prospects of negotiation and better deals is a must. At all times it is good to not be impulsive about property matters. 9. Implications of loan are essential so that you do not increase your liability to a very large extent. 10. Harmony and state rules have to be considered so that you do not compromise on your basic living needs when you go on a holiday. Many investors like to use these properties for renting or leasing out the villas or apartments in order to include more funds in their income. This is also a smart way of working out an option. It is also good to consider when you want to sell it or also if you have future plans to live in the second home. Future planning is a must in all property related issues and it will certainly work out well for you if the finance as well as estate needs are valued in detail. The cost of home decorating should be worked out too. It will indeed be good if you can find some basic comforts lined up in your holiday home so that your vacations are peaceful. Considering the importance of amenities especially in plots where you need to construct a house is a delicate matter. Loans and finance for fresh property must be evaluated before you invest in the same. Other costs like broker or agent commission, transfer fees and mandatory state rules must be abided. The prime importance is safety in the abode and one needs to find if the place is adequately safe for normal living. Another important considering in the legality of the property so that you do not get hassled in the long run. Kamakshii Gupte writes for http://www.abodesindia.com

Madalali mmesikia hayo! Kama ni wewe uliuza viwanja hivi leo uko katika hali gani?

NI NYUMBA, KUTA ZA MABILIONI ZILIZOJENGWA UFUKWENI, MMOJA AKIMBILIA KORTINI KUZUIA JUMBA LAKE LA SH1.5 BILIONI
SERIKALI jana ilikunjua makucha yake kwa vigogo waliojenga nyumba za kifahari kando ya Mito ya Mbezi Beach, Mndumbwe na eneo la Hifadhi ya Mikoko, Dar es Salaam baada ya kuzibomoa katika operesheni iliyosimamiwa na Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) cha Jeshi la Polisi. Hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa tamko la Makamu wa Rais la mwaka 2004 ambalo lilitaja maeneo tengefu ambayo yalipaswa kuhifadhiwa zikiwamo fukwe za bahari ambazo zina mikoko ambayo ni mazalia ya samaki baharini. Licha ya tamko hilo na sheria mbalimbali, bado maeneo ya fukwe za bahari yamekuwa yakivamiwa. Katika kusimamia sheria na tamko hilo, Wizara ya Maliasili na Utalii, Kitengo cha Hifadhi ya Misitu, Baraza la Taifa la Kuhifadhi Mazingira (NEMC) na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, ziliamua kuratibu bomoabomoa hiyo ya nyumba za kifahari zilizojengwa maeneo tengefu ya bahari. Bomoabomoa hiyo ambayo iliendeshwa chini ya ulinzi mkali wa polisi wa FFU chini ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela na kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Uzingatiaji na Utekelezaji wa NEMC, Dk Robert Ntakamulenga, jumla ya nyumba 27 kati ya hizo 15 zikiwa zimekamilika ujenzi, nane uzio (fence) na nyingine katika hatua za awali za ujenzi, zilibomolewa. Kazi ya kubomoa nyumba hizo iliyofanywa na kampuni ya Majembe Auction Mart, ilianza huku wakazi wa nyumba hizo wakiwekwa chini ya ulinzi mkali wa FFU na polisi wengine waliokuwa wamesheheni mabomu ya machozi, bunduki na gari la kumwaga maji ya kuwasha. Bomoabomoa hiyo ilianzia katika eneo la Hifadhi ya Mikoko, Mbezi Beach mnamo saa 2:00 asubuhi na watu waliokuwa wakiishi katika nyumba hizo walilazimika kutoa vitu vyao nje huku kububujikwa machozi. Mmoja wa wakazi wa eneo hilo na Mchungaji wa Kanisa la Dar es Salaam Christian, George Makala alisema kitendo hicho kinasikitisha kwa kuwa muda uliotolewa kwao ni mdogo na wasingeweza kujiandaa kuhama. Akizungumzia tukio hilo muda mfupi baada ya kubomolewa nyumba yake na kanisa hilo, Mchungaji huyo alisema kitendo hicho hakikufuata taratibu na kimesababisha hasara ya mali nyingi kwa wakazi wa eneo hilo akisema kama wangeachwa wahame zingeokolewa. “Ninasikitika sana kwani kitendo hiki hakikufuata taratibu, alikuja Waziri wa Nyumba, Ardhi na Makazi Profesa Anna Tibaijuka, Mbunge wetu, Halima Mdee na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda wakatuambia eneo hilo siyo la hifadhi, bali ni hatarishi, sisi tuliwaambia tuna uwezo wa kukabiliana nalo ndipo waziri aliposema atatoa tamko,” alisema Mchungaji Makala na kuongeza: “Tukiwa tunasubiri tamko kutoka kwa waziri na vibali tunavyo, tumeshangaa (juzi) Jumapili tunaamka na kukutana alama za X. Hatukujua nani ameweka, leo (jana) ghafla tunashangaa tingatinga zimekuja na kubomoa.” Alisema walichofanyiwa siyo haki kwa sababu hawakupewa muda wa kujiandaa kutafuta mahali pa kuhamia lakini pia wangebomoa nyumba zao kuokoa mali zao. “Kwa sasa tutawasiliana na mwanasheria wetu kuona kama kuna uwezekano wa kuchukua hatua ili twende mahakamani, lakini hilo litategemea nini mwanasheria atatushauri,” alisema Makala. Wananchi washangilia Wakati Mchungaji Makala akielekeza kilio chake kwa waratibu wa shughuli hiyo, baadhi ya watu waliofika kushuhudia tukio hilo waliisifu Serikali wakisema sheria sasa imeanza kufanya kazi. Mmoja wa wakazi hao, Samuel Laizer alisema kilichofanywa sasa na Serikali kinaonyesha kuwa sasa inafanya kazi na hakutakuwa na mtu atakayekuwa juu ya sheria. “Tukio hilo limenifurahisha sana, tumezoea kuona Serikali ikituonea sisi maskini, lakini kitendo cha kubomoa nyumba hata za vigogo waliovunja sheria, sasa tunaamini watu wote tutakuwa sawa,” alisema Laiser. Katika eneo la Mto Mbezi Beach, kikosi hicho cha ubomoaji kilivunja kuta kadhaa zilizokuwa zimezungushwa katika viwanja saba vilivyokuwa karibu na mto huo pamoja na Mto Mndumbe inayomwaga maji katika Bahari ya Hindi. Mwanasheria wa NEMC, Manchare Heche alisema baadhi watu wanaomiliki viwanja hivyo waliendelea kujenga majumba ya kifahari licha ya zuio hilo lilitolewa zaidi ya mara tatu. Heche pia alisema bomoabomoa hiyo ilikuwa iikumbe moja ya nyumba ya kifahari katika Mto Mbezi lakini mmiliki wake ameweka pingamizi katika Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi. Kwa mujibu wa watu waliokuwa katika eneo hilo, nyumba hiyo inakadiriwa kuwa na thamani ya Sh1.5 bilioni. Akizungumzia shughuli hiyo ya jana, Kaimu Mkurugenzi Usimamizi Rasilimali na Wakala wa Huduma za Misitu, Zawadi Mbwambo alisema kazi hiyo imechelewa kutokana na kuhusisha idara, wizara na taasisi tofauti katika utendaji wake. Alisema kazi hiyo itakuwa endelevu na itawahusu watu wote waliojenga katika maeneo ya fukwe za bahari na kusisitiza kuwa umbali unaoruhusiwa kujenga nyumba kutoka eneo la bahari ni meta 60. Kwa upande wake, Dk Ntakamulenga alisema kazi hiyo ya kubomoa nyumba katika maeneo ya hifadhi za taifa, fukwe za bahari na kando ya mito ni endelevu na akatoa wito kwa watu wote waliojenga katika maeneo hayo kuchukuka tahadhari mapema kuondoa usumbufu. “Tumechelewa kuchukua hatua kutokana na zoezi hili kushirikisha mamlaka zaidi ya mmoja, tulikutana kujadili na kuona umuhimu wa kuunganisha nguvu ili utekelezaji wake usiingilie mamlaka nyingine,” alisema Dk Ntakamulenga. Alisema kazi hiyo pindi itakapomalizika katika jiji la Dar es Salaam ambako kuna viwanja zaidi ya 100, vinavyopaswa kurudishwa katika mamlaka husika, itahamia mikoani na itawahusu pia watu wote waliojenga nyumba zao kwenye hifadhi za taifa, kando ya mito na kwenye fukwe za bahari kitendo kinachosababisha uharibifu wa mazingira. Polisi Kinondoni yatoa onyo Kamanda Kenyela aliwataka watu wote waliojenga nyumba zao katika maeneo yanayokatazwa na Serikali, kuzibomoa wenyewe ili kukwepa mkono wa sheria. “Tukio la leo ni kwamba tumewasha taa, sasa watu wote waliojenga nyumba zao kinyume na sheria katika jiji la Dar es Salaam na hata wenye migogoro ya ardhi ambao Mahakama ilishatoa hukumu ni vyema wakabomoa wenyewe, watii sheria pasipo shuruti,” alisema. Habari hii imeandikwa na Geofrey Nyang’oro wa Gazeti la Mwananchi.

Tuesday, June 5, 2012

Hot Emi Properties Katika YouTube

Hii video ni wakati Salma akielezea nyumba ya kupangisha iliyoko Sinza. Unaweza ukapata nyumba kama hii au nzuri zaidi bila kuhangaika kuzunguka mji mzima na madalali wa nyumba.

Thursday, May 24, 2012

Kwa nini utafute Nyumba ya Kupanga Kupitia Hot Emi Properties?

Katika biashara ya tanzania real estates, wapo wengi wanaendelea kuifanya hapa Dar es Salaam na mikoa mingine. Ila cha kushangaza, biashara hii inafanyika siyo kama inavyofanywa katika nchi zingine, kama UK, USA n.k. Hapa kwetu biashara hii imeshikiliwa sana na madalali wa nyumba ambao wamekuwa wakiifanya namna ambavyo watenja wao wamebaki na malalamiko.

Ili kuepuka usumbufu huo, Hot Emi Properties wamekuja na njia sahihi za kufanya biashara ya Tanzania real estates. Hivyo, sababu kuu za kuja kwa Hot Emi Properties ni kama ifuatavyo

          1. Utachagua nyumba, kiwanja au shamba kupitia video. 

Kama ilivyo hivi sasa, madalali wa nyumba huwazungusha mtaa hadi mtaa ili kuwatafutia nyumba wateja. Wakati mwingine, pamoja na juhudi hizo za kuzunguka, huwa nyumba haipatikani na ni lazima mteja atoe pesa ya kuzungusha ambayo ni kati ya sh. 5,000 hadi sh. 10,000. Hii imeleta usumbufu mkubwa sana kwa wateja. Kutatua tatizo hili, Hot Emi Proprties imeanzisha mpango ambapo nyumba za kuuzwa au kupngisha kupigwa picha za video na mnato na kuoneshwa katika ofisi zao. Hii hupunguza muda wa kuzunguka na kwenda kuangalia nyumba mitaani.

2. Shamba au nyumba huhakikiwa na watalaam wa ardhi kutoka wizarani.

Kampuni ya Hot Emi Properties huwatumia watalaam wa ardhi ili kutoa uhalali wa shamba au sehemu inayouzwa ili kuepuka matapeli ambao wamekuwa wakiwaibia wateja kwa kuwauzia sehemu ambazo haziuzwi.

3. Mikataba yote ya ununuzi au kupanga husainiwa mbele ya wanasheria. 

Biashara za Tanzania real estates hakika kuwa utapeli mwingi. Hilo tumeliona na kuamua kuwatumia wanasheria katika maswala ya ardhi ili kusimamia mikataba ambayo tunaingia na wateja wetu ili wasitapaliwe. 

4. Kampuni itahakikisha mteja wake haonewi na mwenye nyumba

Baada ya kuuza au kupangisha nyumba au frem, kampuni hufuatilia kuona kama mteja wetu haonewi na mwenye nyumba. Huduma hii huitwa kitalaam after sale service. Huzikutanisha pande zinazosigana ili kutatua migogoro katika mikataba kama inatokea.

5. Mteja atapata taarifa sahihi za sheria ya makazi na haki zake

Kampuni huwapa wateja wake taarifa sahihi kuhusu sheria na taratibu za makazi na kutoa ushauri namna nzuri ya ununuzi au upangaji wa makazi unaoendana na sheria inavyotaka. 
Karibu Hot Emi Properties ili upate huduma zetu bora

Thursday, April 19, 2012

Fahamu Vijiwe vya Madalali wa Nyumba Sinza

Watu wengi wanapata shida kuwapata madalali wa nyumba sehemu mbali mbali za jiji la Dar es Salaam.
Pamoja ni kuwa madalali wengi wamekuwa siyo waaminifu katika kuwahudumia wateja wa Tanzania real estates kabla hujajua pa kupata huduma tofauti, leo nitakuletea sehemu tatu wanapopatikana madalai wa nyumba Sinza:

Sinza Kumekucha.
 Hapa ni sehemu ambapo madalali hukaa chini ya mti wakisubiria wateja. Ukitokea Shekilango uliza Sinza Kumekucha ukishashuka gari muulize mtu yeyote wapi madalai wa nyumba wanapatikana. Atakuonesha mti ambapo wanakuwa wamekaa kusubiri wateja. Ila uwe mwangalifu maana hawan ofisi hivyo unaweza kuingia nao mikataba kama siyo mwanaminifu akapotea usimwone tena.

Sinza Mori.
 Sinza Mori ni mbele kidogo ya Sinza Kumekucha. Hapo napo utawakuta madalali wameketi wakisubiri wateja. Usitegemee kuwakuta ofisini na kuona nyumba walizonazo, ila watakutajia maeneo mbali mbali ambapowan nyumba hizo. Si lazima iwe Sinza, ila watakutajia hata kawe, Kinondoni, Mwenge na hata Mbagala. Ni vizuri kuwa makini maana hizo nyumba wanazotaja si kweli kuwa wanazo ila wanategemea madalali wengine kutoka maeneo hayo.
 
Bamaga 
Hapa ni makutano ya kona ya barabara ya Shekilango na ile ya Bagamoyo. Ulizia madalali wa nyumba wanapatikana wapi. Watakueleza sehemu ambapo pia wanakaa kusubiria wateja. 

Ili kuepuka matatizo ambayo yanaweza kusababishwa na madalali wasio waaminifu, ni vizuri ukapata madalali wa nyumba ambao wana ofisi na walioshajiriwa na wanaofanya biashara ya Tanzania real estates kwa muujibu wa sheria. 

Kwa kupata huduma tofauti katika tanzania real estates njoo Hot Emi Properties ili tukuhudumie.

Wednesday, April 18, 2012

Jinsi Biashara ya Tanzania Real Properties Inavyohangaisha Wenye Nyumba

Shirika la Nyumba la Taifa laanzaa msako wa wapangaji feki ambapo kila mpangaji anatakiwa akajihakiki kwenye ofisi za shirika hilo ambalo sasa limepania kuondoa uozo uliopo wa wapangaji kugeuka wenye nyumba. Kukwepa kupata shida za namna hii ni vizuri kuwatumia Agent kama Hot Emi Properties ili wakusaidie kupangisha nyumba katika Tanzania real estates na kuachana na madalali wa nyumba

Ben Akihojiwa na Salma Kuhusu Hot Emi Properties

Baada ya Hot Emi Properties, Salma Sharif akimhoji Benedict Ambwene ambaye ni Chief Operations Officer [CPO] juu ya shughuli za kampuni. Tazama video hii ili utape kufahamu jinsi kampuni ilivyojipanga kuwahudumia watanzania katika biashara ya Tanzania real estates.