Wednesday, April 18, 2012

Jinsi Biashara ya Tanzania Real Properties Inavyohangaisha Wenye Nyumba

Shirika la Nyumba la Taifa laanzaa msako wa wapangaji feki ambapo kila mpangaji anatakiwa akajihakiki kwenye ofisi za shirika hilo ambalo sasa limepania kuondoa uozo uliopo wa wapangaji kugeuka wenye nyumba. Kukwepa kupata shida za namna hii ni vizuri kuwatumia Agent kama Hot Emi Properties ili wakusaidie kupangisha nyumba katika Tanzania real estates na kuachana na madalali wa nyumba

No comments:

Post a Comment