Wednesday, April 18, 2012

Ben Akihojiwa na Salma Kuhusu Hot Emi Properties

Baada ya Hot Emi Properties, Salma Sharif akimhoji Benedict Ambwene ambaye ni Chief Operations Officer [CPO] juu ya shughuli za kampuni. Tazama video hii ili utape kufahamu jinsi kampuni ilivyojipanga kuwahudumia watanzania katika biashara ya Tanzania real estates.

No comments:

Post a Comment