Showing posts with label Tanzania properties. Show all posts
Showing posts with label Tanzania properties. Show all posts

Thursday, August 27, 2015

Sera za Rais Ajaye Zieleze Kuhusu Makazi ya Watu wa Kipato cha Chini

Tanzania iko katika kipindi cha kampeni kumchagua Rais mpya wa awamu ya tano. Katika waliojitokeza na kupitishwa na vyama vyao na kisha kuteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni Ndugu Edward Lowassa na Ndugu John Pombe Magufuli. 

Wagombea hawa wameanza kuhubiri sera zao kuhusu kuwaendeleza watanzania. Mambo yanayopewa kipaumbele ni kuondoa umasikini kwa wananchi. Nawaomba watanzania tuwahoji kuhusu ujenzi wa nyumba nafuu za watu wa kipato cha chini. Maana tukisema kuwa tukope benki tukakope nyumba zinazojengwa na taasisi mbalimbali kama NHC, Watumishi Housing, TBA na zingine binafsi, vipato vyetu haviruhusu kupata mikopo hiyo hivyo.

Ili kumaliza tatizo hilo, tuwahoji wagombea watatatuaji makazi duni ya maeneo ya manzese, Tandale, Tandika, na kwingineko ambapo watu wa kipato cha chini huishi kwa kuwajengea nyumba nzuri kwa bei nafuu.

Wednesday, July 11, 2012

Tips to Consider Before You Buy a Second Home

Investment in property is an intelligent matter of finance and ability. There are several factors one must consider before deciding on purchasing a property. With urban luxuries increasing, life style needs are making it necessary for a person to understand the importance of holidays and vacation. The second home or holiday also suits people who believe in property needs for the reason of security and investment. Finding a special holiday home is now quite easy as most of the outskirts of the nearby areas are now developing estates with the amenities of their own. Tips for purchasing a second home: 1. Consider your finance well. Find out the loans and immediate long term liabilities. 2. Pay all your taxes well and work out tax saving schemes like home loans. 3. Find out the list of expenses your foresee and other mandatory items like insurance, current home loan, medical expenses and child's education fees. 4. Inspect, find and evaluate the property. 5. Knowing amenities like water facility, power is very important. Access to markets for a living is also vital. 6. Look for resale value in the property. Thinking forward is very important. 7. Understanding the cost attached to home decorating accessories must be worked out well. 8. Prospects of negotiation and better deals is a must. At all times it is good to not be impulsive about property matters. 9. Implications of loan are essential so that you do not increase your liability to a very large extent. 10. Harmony and state rules have to be considered so that you do not compromise on your basic living needs when you go on a holiday. Many investors like to use these properties for renting or leasing out the villas or apartments in order to include more funds in their income. This is also a smart way of working out an option. It is also good to consider when you want to sell it or also if you have future plans to live in the second home. Future planning is a must in all property related issues and it will certainly work out well for you if the finance as well as estate needs are valued in detail. The cost of home decorating should be worked out too. It will indeed be good if you can find some basic comforts lined up in your holiday home so that your vacations are peaceful. Considering the importance of amenities especially in plots where you need to construct a house is a delicate matter. Loans and finance for fresh property must be evaluated before you invest in the same. Other costs like broker or agent commission, transfer fees and mandatory state rules must be abided. The prime importance is safety in the abode and one needs to find if the place is adequately safe for normal living. Another important considering in the legality of the property so that you do not get hassled in the long run. Kamakshii Gupte writes for http://www.abodesindia.com

Madalali mmesikia hayo! Kama ni wewe uliuza viwanja hivi leo uko katika hali gani?

NI NYUMBA, KUTA ZA MABILIONI ZILIZOJENGWA UFUKWENI, MMOJA AKIMBILIA KORTINI KUZUIA JUMBA LAKE LA SH1.5 BILIONI
SERIKALI jana ilikunjua makucha yake kwa vigogo waliojenga nyumba za kifahari kando ya Mito ya Mbezi Beach, Mndumbwe na eneo la Hifadhi ya Mikoko, Dar es Salaam baada ya kuzibomoa katika operesheni iliyosimamiwa na Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) cha Jeshi la Polisi. Hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa tamko la Makamu wa Rais la mwaka 2004 ambalo lilitaja maeneo tengefu ambayo yalipaswa kuhifadhiwa zikiwamo fukwe za bahari ambazo zina mikoko ambayo ni mazalia ya samaki baharini. Licha ya tamko hilo na sheria mbalimbali, bado maeneo ya fukwe za bahari yamekuwa yakivamiwa. Katika kusimamia sheria na tamko hilo, Wizara ya Maliasili na Utalii, Kitengo cha Hifadhi ya Misitu, Baraza la Taifa la Kuhifadhi Mazingira (NEMC) na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, ziliamua kuratibu bomoabomoa hiyo ya nyumba za kifahari zilizojengwa maeneo tengefu ya bahari. Bomoabomoa hiyo ambayo iliendeshwa chini ya ulinzi mkali wa polisi wa FFU chini ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela na kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Uzingatiaji na Utekelezaji wa NEMC, Dk Robert Ntakamulenga, jumla ya nyumba 27 kati ya hizo 15 zikiwa zimekamilika ujenzi, nane uzio (fence) na nyingine katika hatua za awali za ujenzi, zilibomolewa. Kazi ya kubomoa nyumba hizo iliyofanywa na kampuni ya Majembe Auction Mart, ilianza huku wakazi wa nyumba hizo wakiwekwa chini ya ulinzi mkali wa FFU na polisi wengine waliokuwa wamesheheni mabomu ya machozi, bunduki na gari la kumwaga maji ya kuwasha. Bomoabomoa hiyo ilianzia katika eneo la Hifadhi ya Mikoko, Mbezi Beach mnamo saa 2:00 asubuhi na watu waliokuwa wakiishi katika nyumba hizo walilazimika kutoa vitu vyao nje huku kububujikwa machozi. Mmoja wa wakazi wa eneo hilo na Mchungaji wa Kanisa la Dar es Salaam Christian, George Makala alisema kitendo hicho kinasikitisha kwa kuwa muda uliotolewa kwao ni mdogo na wasingeweza kujiandaa kuhama. Akizungumzia tukio hilo muda mfupi baada ya kubomolewa nyumba yake na kanisa hilo, Mchungaji huyo alisema kitendo hicho hakikufuata taratibu na kimesababisha hasara ya mali nyingi kwa wakazi wa eneo hilo akisema kama wangeachwa wahame zingeokolewa. “Ninasikitika sana kwani kitendo hiki hakikufuata taratibu, alikuja Waziri wa Nyumba, Ardhi na Makazi Profesa Anna Tibaijuka, Mbunge wetu, Halima Mdee na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda wakatuambia eneo hilo siyo la hifadhi, bali ni hatarishi, sisi tuliwaambia tuna uwezo wa kukabiliana nalo ndipo waziri aliposema atatoa tamko,” alisema Mchungaji Makala na kuongeza: “Tukiwa tunasubiri tamko kutoka kwa waziri na vibali tunavyo, tumeshangaa (juzi) Jumapili tunaamka na kukutana alama za X. Hatukujua nani ameweka, leo (jana) ghafla tunashangaa tingatinga zimekuja na kubomoa.” Alisema walichofanyiwa siyo haki kwa sababu hawakupewa muda wa kujiandaa kutafuta mahali pa kuhamia lakini pia wangebomoa nyumba zao kuokoa mali zao. “Kwa sasa tutawasiliana na mwanasheria wetu kuona kama kuna uwezekano wa kuchukua hatua ili twende mahakamani, lakini hilo litategemea nini mwanasheria atatushauri,” alisema Makala. Wananchi washangilia Wakati Mchungaji Makala akielekeza kilio chake kwa waratibu wa shughuli hiyo, baadhi ya watu waliofika kushuhudia tukio hilo waliisifu Serikali wakisema sheria sasa imeanza kufanya kazi. Mmoja wa wakazi hao, Samuel Laizer alisema kilichofanywa sasa na Serikali kinaonyesha kuwa sasa inafanya kazi na hakutakuwa na mtu atakayekuwa juu ya sheria. “Tukio hilo limenifurahisha sana, tumezoea kuona Serikali ikituonea sisi maskini, lakini kitendo cha kubomoa nyumba hata za vigogo waliovunja sheria, sasa tunaamini watu wote tutakuwa sawa,” alisema Laiser. Katika eneo la Mto Mbezi Beach, kikosi hicho cha ubomoaji kilivunja kuta kadhaa zilizokuwa zimezungushwa katika viwanja saba vilivyokuwa karibu na mto huo pamoja na Mto Mndumbe inayomwaga maji katika Bahari ya Hindi. Mwanasheria wa NEMC, Manchare Heche alisema baadhi watu wanaomiliki viwanja hivyo waliendelea kujenga majumba ya kifahari licha ya zuio hilo lilitolewa zaidi ya mara tatu. Heche pia alisema bomoabomoa hiyo ilikuwa iikumbe moja ya nyumba ya kifahari katika Mto Mbezi lakini mmiliki wake ameweka pingamizi katika Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi. Kwa mujibu wa watu waliokuwa katika eneo hilo, nyumba hiyo inakadiriwa kuwa na thamani ya Sh1.5 bilioni. Akizungumzia shughuli hiyo ya jana, Kaimu Mkurugenzi Usimamizi Rasilimali na Wakala wa Huduma za Misitu, Zawadi Mbwambo alisema kazi hiyo imechelewa kutokana na kuhusisha idara, wizara na taasisi tofauti katika utendaji wake. Alisema kazi hiyo itakuwa endelevu na itawahusu watu wote waliojenga katika maeneo ya fukwe za bahari na kusisitiza kuwa umbali unaoruhusiwa kujenga nyumba kutoka eneo la bahari ni meta 60. Kwa upande wake, Dk Ntakamulenga alisema kazi hiyo ya kubomoa nyumba katika maeneo ya hifadhi za taifa, fukwe za bahari na kando ya mito ni endelevu na akatoa wito kwa watu wote waliojenga katika maeneo hayo kuchukuka tahadhari mapema kuondoa usumbufu. “Tumechelewa kuchukua hatua kutokana na zoezi hili kushirikisha mamlaka zaidi ya mmoja, tulikutana kujadili na kuona umuhimu wa kuunganisha nguvu ili utekelezaji wake usiingilie mamlaka nyingine,” alisema Dk Ntakamulenga. Alisema kazi hiyo pindi itakapomalizika katika jiji la Dar es Salaam ambako kuna viwanja zaidi ya 100, vinavyopaswa kurudishwa katika mamlaka husika, itahamia mikoani na itawahusu pia watu wote waliojenga nyumba zao kwenye hifadhi za taifa, kando ya mito na kwenye fukwe za bahari kitendo kinachosababisha uharibifu wa mazingira. Polisi Kinondoni yatoa onyo Kamanda Kenyela aliwataka watu wote waliojenga nyumba zao katika maeneo yanayokatazwa na Serikali, kuzibomoa wenyewe ili kukwepa mkono wa sheria. “Tukio la leo ni kwamba tumewasha taa, sasa watu wote waliojenga nyumba zao kinyume na sheria katika jiji la Dar es Salaam na hata wenye migogoro ya ardhi ambao Mahakama ilishatoa hukumu ni vyema wakabomoa wenyewe, watii sheria pasipo shuruti,” alisema. Habari hii imeandikwa na Geofrey Nyang’oro wa Gazeti la Mwananchi.

Tuesday, June 5, 2012

Hot Emi Properties Katika YouTube

Hii video ni wakati Salma akielezea nyumba ya kupangisha iliyoko Sinza. Unaweza ukapata nyumba kama hii au nzuri zaidi bila kuhangaika kuzunguka mji mzima na madalali wa nyumba.

Lango Kuu la Kuingilia


Nyumba hii iko Bunju. Inauzwa kwa sababu mama mwenye nyumba anataka ada za watoto wake shule. Ina vyumba sita na sebule kubwa. Inafaa kwa biashara ya kupangisha. Iko kwenye kiwanja kikubwa.

Bei yake  ni Sh.50 milioni






Ramani ya Viwanja Kigamboni.

Hii ni ramani ya viwanja huko Kigamboni. Imetoka Minispaa ya Temeke. Ni vizuri kabla hujanunua kiwanja ukajua kuwa kiwanja unachonunua hakiko eneo ambalo haliruhusiwi kujenga ili kuepuka kutapeliwa.

Thursday, May 24, 2012

Kwa nini utafute Nyumba ya Kupanga Kupitia Hot Emi Properties?

Katika biashara ya tanzania real estates, wapo wengi wanaendelea kuifanya hapa Dar es Salaam na mikoa mingine. Ila cha kushangaza, biashara hii inafanyika siyo kama inavyofanywa katika nchi zingine, kama UK, USA n.k. Hapa kwetu biashara hii imeshikiliwa sana na madalali wa nyumba ambao wamekuwa wakiifanya namna ambavyo watenja wao wamebaki na malalamiko.

Ili kuepuka usumbufu huo, Hot Emi Properties wamekuja na njia sahihi za kufanya biashara ya Tanzania real estates. Hivyo, sababu kuu za kuja kwa Hot Emi Properties ni kama ifuatavyo

          1. Utachagua nyumba, kiwanja au shamba kupitia video. 

Kama ilivyo hivi sasa, madalali wa nyumba huwazungusha mtaa hadi mtaa ili kuwatafutia nyumba wateja. Wakati mwingine, pamoja na juhudi hizo za kuzunguka, huwa nyumba haipatikani na ni lazima mteja atoe pesa ya kuzungusha ambayo ni kati ya sh. 5,000 hadi sh. 10,000. Hii imeleta usumbufu mkubwa sana kwa wateja. Kutatua tatizo hili, Hot Emi Proprties imeanzisha mpango ambapo nyumba za kuuzwa au kupngisha kupigwa picha za video na mnato na kuoneshwa katika ofisi zao. Hii hupunguza muda wa kuzunguka na kwenda kuangalia nyumba mitaani.

2. Shamba au nyumba huhakikiwa na watalaam wa ardhi kutoka wizarani.

Kampuni ya Hot Emi Properties huwatumia watalaam wa ardhi ili kutoa uhalali wa shamba au sehemu inayouzwa ili kuepuka matapeli ambao wamekuwa wakiwaibia wateja kwa kuwauzia sehemu ambazo haziuzwi.

3. Mikataba yote ya ununuzi au kupanga husainiwa mbele ya wanasheria. 

Biashara za Tanzania real estates hakika kuwa utapeli mwingi. Hilo tumeliona na kuamua kuwatumia wanasheria katika maswala ya ardhi ili kusimamia mikataba ambayo tunaingia na wateja wetu ili wasitapaliwe. 

4. Kampuni itahakikisha mteja wake haonewi na mwenye nyumba

Baada ya kuuza au kupangisha nyumba au frem, kampuni hufuatilia kuona kama mteja wetu haonewi na mwenye nyumba. Huduma hii huitwa kitalaam after sale service. Huzikutanisha pande zinazosigana ili kutatua migogoro katika mikataba kama inatokea.

5. Mteja atapata taarifa sahihi za sheria ya makazi na haki zake

Kampuni huwapa wateja wake taarifa sahihi kuhusu sheria na taratibu za makazi na kutoa ushauri namna nzuri ya ununuzi au upangaji wa makazi unaoendana na sheria inavyotaka. 
Karibu Hot Emi Properties ili upate huduma zetu bora

Sunday, April 22, 2012

Why Buying A Home May Be More Advantageous Than Renting

Although some people find renting a more convenient option, real estate experts still recommend home ownership because of its many advantages. Consider the benefits and risks of home buying vis-à-vis renting. Especially when you think about your retirement years, you will realize that investing in a home will be the smartest decision you will ever make in your life.
Several studies show that having your own home can indeed be beneficial in various ways such as lower chances of teenage pregnancy, better education for your children, and more annual income for your children. But these are just some of the advantages of owning a home. Here are more reasons why you should buy yours now:

1. Housing expenses are more stable with mortgage payments than rental payments.
When you buy a house, your mortgage payments are most likely to remain as they are throughout the home loan period. In contrast, rental fees usually increase each year. Especially during inflation, when prices of goods go up, people who rent are bound to lose more money than homeowners.

2. You get large tax savings.
Since mortgage payments consist mostly of property taxes and interests in the first few years, you can expect huge savings when you deduct these fees from your state income and federal income taxes-that is, if you decide to purchase your own home.

3. Home ownership allows you to consolidate your other debts.
You can do so if you need to refinance your mortgage loan and get out of debt faster. The interest on your debt consolidation can be deducted from your tax as well. You won't get this benefit from renting an apartment, house, or condo.

4. You can build equity in your own home.
When you rent, the money you pay monthly goes only to your landlord. But when you buy a home, your mortgage payments become your real estate investment. How does it happen? Generally, the value of properties increases over time. And when your property gets more value, you can earn money by selling it. Paying your mortgage loans is like investing your money for future use such as for your retirement fund or for the education of your children.

5. The house is yours!
Because you own the house, you have full control over everything that concerns it: the interior design, color of the walls, the number of guests you can accommodate, among many others. You can have as many pets as you want. You won't need to ask permission from the landlord about changing the look or remodeling the house. No one will force you out of your house or engage you in a violent altercation if you simply want to change the kitchen wall's color from white to neon green.

Remember, a home is the single biggest purchase that you might make in your life. Before you get a home, you have to know the responsibilities that go with it. The common risks involved in buying a real estate property include decreased value of the home, foreclosure, and increased expenses. Thus, weigh all the benefits and risks to be able to arrive at a wise decision.
Author Peter Jordan is a realtor with Prudential NJ Properties in Westfield New Jersey. For more information, visit http://www.livinginwestfieldnj.com 
 
To invest in Tanzania real estate you can contact Hot EMI Properties in Dar es Salaam.

Wednesday, April 18, 2012

Jinsi Biashara ya Tanzania Real Properties Inavyohangaisha Wenye Nyumba

Shirika la Nyumba la Taifa laanzaa msako wa wapangaji feki ambapo kila mpangaji anatakiwa akajihakiki kwenye ofisi za shirika hilo ambalo sasa limepania kuondoa uozo uliopo wa wapangaji kugeuka wenye nyumba. Kukwepa kupata shida za namna hii ni vizuri kuwatumia Agent kama Hot Emi Properties ili wakusaidie kupangisha nyumba katika Tanzania real estates na kuachana na madalali wa nyumba

Ben Akihojiwa na Salma Kuhusu Hot Emi Properties

Baada ya Hot Emi Properties, Salma Sharif akimhoji Benedict Ambwene ambaye ni Chief Operations Officer [CPO] juu ya shughuli za kampuni. Tazama video hii ili utape kufahamu jinsi kampuni ilivyojipanga kuwahudumia watanzania katika biashara ya Tanzania real estates.

Saturday, April 7, 2012

Introducing Hot Emi Properties Ltd

Welcome to Hot Emi Properties a Tanzani Real Estates company established    with the purposeof helping the community to acquire, sell, rent or let their properties in Tnazania. The company aimed at reducing inconveniences of looking for properties in Tanzania. Literally, the big share of the market is informally held by madalalis who have not set out a proper  marketing strategy to help people acquire, sell, let or rent their properties. 



 At Hot Emi Proprties, we aim:
  • To display and show all properties on sale on our website, video show and weekly magazine
  • To invite people to select their dream properties direct from our offices through video and TV shows
  • To provide after sale services whereby all people rented or bought through us will get a legal services by our advocates on contract implementations
  • To updates our clients on the change of acts, regulations and laws governing the real estates business Tanzania
  •  To cooperate with the Government, City council authorities and Tanzania Investment Center in providing information our clients on investment opportunities, land use permit e.t.c
All  services will be done by well motivated staff who are devoted to change the way Tanzania properties business are conducted.

We therefore invite all stakeholders in Tanzania Real Estates to visit our offices at Sinza Kumekucha and get more information, or email us at emayage@gmail.com