Tuesday, September 8, 2015

Unahitaji Nyumba ya Kuishi Kibamba

Watu wengi wanahangaika kutafuta nyumba za kununua katika maeneo mbalimbali ya jiji. Wengi hutembelea vijiwe vya madalali ili kupata taarifa ya nyumba zinazouzwa.
Sh. 35,000,000

Mara nyingi madalali wa vijiweni huwahangaisha sana wateja kwa kuwa wanakuwa hawana uhakika na mahitaji ya mteji. Achana kutafuta nyumba za kununua au kupang akupitia kwa madalali kuepuka usumbufu.

Kwa huduma nzuri za kupata nyumba za kuishi Kibamba, Sinza, Mbezi na kwingineko, tafadhali wasiliana nasi.

Hapa tumekuonesha baadhi tu nyumba tulizonazo maeneo ya Kibamba na bei zake.

Sh 35,000,000
Sh. 25,000,000